Shirika la FLORESTA Tanzania linakualika kwenye uzinduzi wa kampeni ya upandaji miti Wilaya ya Siha. Tarehe 16/04/2023. Miti 1,000 Itaoteshwa Shule ya Sekondari Kilimanjaro Girls
Karibu tushiriki kuiponya ardhi na watu wake!
Shirika la FLORESTA Tanzania linakualika kwenye uzinduzi wa kampeni ya upandaji miti Wilaya ya Siha. Tarehe 16/04/2023. Miti 1,000 Itaoteshwa Shule ya Sekondari Kilimanjaro Girls
Karibu tushiriki kuiponya ardhi na watu wake!