Shirika la FLORESTA Tanzania linakualika kwenye uzinduzi wa kampeni kabambe ya upandaji miti Wilaya ya Same, Tarehe:
15/04/2024: Tae Sekondari
16/04/2023: Zahanati ya Kirungaya
18/04/2024: Barabara ya Kadando
Miti 6500 Itaoteshwa.
Karibu tushiriki kuiponya ardhi na watu wake!