Shirika la FLORESTA Tanzania linakualika kwenye uzinduzi wa kampeni ya upandaji miti Wilaya ya Hai. Tarehe 18/04/2023. Miti 1,500 Itaoteshwa Barabara ya Kware – Sadala
Karibu tushiriki kuiponya ardhi na watu wake!
Shirika la FLORESTA Tanzania linakualika kwenye uzinduzi wa kampeni ya upandaji miti Wilaya ya Hai. Tarehe 18/04/2023. Miti 1,500 Itaoteshwa Barabara ya Kware – Sadala
Karibu tushiriki kuiponya ardhi na watu wake!